PICHA NA FADHIRI ATICK-MR.PENGO MBEYA
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich.
Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology.
She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music.
She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot.
Check her out:
Loading...
MTOTO AFARIKI KWA AJALI ENEO LAO UYOLE YA KATI JIJINI MBEYA.
>
Mtoto mwenye Umri usio zidi Miaka 16 hakuweza fahamika kwa Majina napoteza Maisha mara baada ya kugongwa na Gari Eneo la Uyole ya Kati Jijini Mbeya, wakati alipo kuwa akivuka Bara Bara kuelekea upande wa pili Ghafra zikasikika Breki za Gari aina ya Prado yenye Nambari za Usajiri {T807,DCA} na kupelekea Umauti kwa Kijana huyo hapo hapo.
Eneo la Tukio likiwa limezungukwa na Wananchi wa UYole ya kati..

Post a Comment